Wadau wa blog yako kutoka Washington DC, kwa kweli nilimuuliza Rais Karume two weeks ago hapa washington''wewe Wapemba wamekukosea nini hata ukaweka waziri mmoja tu au kwa kuwa wamekupa 15% ya kura ?Jibu lake ni kuwa nimewapa 10% waziri mmoja na 5% naibu waziri inawatosha hiyo.
Mdau
Washington
No comments:
Post a Comment