Friday, June 27, 2008

Player No.1 Kuzinduliwa Mwezi
Huu.
Mshindi wa shindano la Big Brother Africa II 2007 Richard alifanya Shooting nchini Lagos Nigeria Februari 22 akiambatana na mkewe kwenye shooting hiyo ya Player No 1 iliyoanza Februari 27 ilimalizika Machi 22,2008.Yeye mwenyewe anasema kwamba ni filamu ambayo ipo fiti.Katika filamu hiyo mastaa wengine wa Nollywood kama akina Ini Edo,Uche Jombo,Jackie na Meryl Vuyeya Shikwambane walikuwemo.Filamu hiyo ilizalishwa Ifeany Anagor na kuongozwa na Moses Inwang.kaeni mkao wa kula kwa nyuzi zaidi.

No comments: