Watanzania si Mabwege-
Dk Mwakyembe

Dk. Mwakyembe aliliambia Bunge jana kuwa kuna kundi la wabunge walioandaliwa kuwasafisha viongozi waliotuhumiwa kuhusika kwenye ufisadi wa Richmond na kusababisha wajiuzulu ili kamati aliyokuwa anaiongoza ionekane kama iliwaonea kwenye ripoti yake.kwa mengi zaidi juu ya Habari hii bofya Hapa
No comments:
Post a Comment