Makamu wa Rais Dr Shein ala
Darasa Cuba..
Makamu wa Rais Dr Ali Mohamed Shein(wa Kwanza kulia)na Waziri wa afya Prof David Mwakyusa na Waziri wa afya kutoka serikali ya mapinduzi zanzibar Sultan Mugheiry(wa pili kushoto)wakila darasa la nguvu kutoka kwa mtaalum wa huduma za afya wa Cuba.Makamu wa Rais yupo nchini Cuba kwa ziara ya kikazi ya siku tano.
No comments:
Post a Comment