Tuesday, August 26, 2008

Mzee Mandela na Wake
Zake..
Pichani ni Mke wa sasa wa Mzee Nelson Mandela,Bi Graca Machel(kushoto)akimpiga Busu Mume wake mzee Mandela huku kushoto nae mke wa zamani wa Mzee Mandela,Winnie Mandela(kulia)akitazama kwa umakini hii ilikuwa kwenye sherehe za kusherekea birthday ya Miaka 90 ya Mzee Mandela hivi karibu nchini Afrika kusini.katika picha hizi mwanana zinaonyesha Wake hawa wawili Graca na Winne wanapata sana..

No comments: