Wednesday, August 27, 2008

Basi la kampuni ya Kimambo Express likiwa limepinduka baada ya ajali na gari dogo (chini) katika eneo la Nane Nane mkoani Morogoro na watu wawili kupoteza maisha.

Mmoja wa majeruhi wa ajali hiyo ya Morogoro.
Lakini wakati watanzania wenzetu wanapoteza maisha na kupata vilema vya kudumu ni nini kifanyike ili kuepuka na ajali kama hizi ambazo kila siku zinatokea? Hili ni tatizo la umaskini ama uzembe?

No comments: