Kutoka Celtel Mpaka
Zain...
Waziri wa Mambo ya Ndani,Lawrence Masha(kushoto)na Mawaziri Wakuu wastaafu, Jaji Joseph Warioba(katikati)na Dk.Salim Ahmed Salim ambaye pia ni Msuluhishi wa mgogoro wa Darfur nchini Sudan,wakipeperusha bendera ya Taifa wakati wa hafla ya kubadilisha jina la kibiashara la Celtel kuwa Zain kwenye Uwanja wa Karimjee jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
No comments:
Post a Comment