Thursday, June 12, 2008

Tatizo la Maji lazidi kuwa Sugu..


Tatizo la maji jijini Dar es Salaam limekua likishika kasi siku hadi siku ,Pichani baadhi ya wakazi wajiji wakiwa kwenye foleni ya maji ambayo pia ni ya mgao.inasikitisha. Picha Mdau Mpoki Bukuku

No comments: