tunondozzz sunrise primary and nursery school

Mwalimu mkuu wa Sunrise Primary and Nursery School iliyoko Mikocheni, Dar, akimkaribisha mgeni rasmi pamoja na wazazi jana kwenye mahafali ya shule hiyo iliyoko karibu na barabara ya Bagamoyo rodi jirani ya hospitali ya AAR

wanafunzi wa Sunrise Primary and Nursery School ya Mikocheni katika mahafali

wahitimu wakisubiri tunondozzzz twao


wazazi, ndugu, jamaa na marafiki walikuwepo kwa wingi kwenye mahafali hayo

No comments:
Post a Comment