Friday, August 22, 2008

PORINI HATARI

Jamani Simba anakula tairi ya gari!
Kala ya nyuma!
Mwingine kala ya mbele!
Wakagomea mpaka spare tyre!
Wakaacha matyre yote yakiwa na hali hii na watu walikuwa porini itakuwa vipi?

No comments: