Wednesday, August 27, 2008

"Hamjui Tunavyoishi!"
Kupitia picha za televisheni, watu wengi wa Ulaya na Marekani wanajua jinsi Waafrika tunavyokufa, lakini hawajui jinsi tunavyoishi. Pichani ni kitongoji cha Mikumi, Morogro, jamaa ameamua kupunguza gharama kwa kuhama kwa kutumia baiskeli ya matairi matatu.

No comments: