Sunday, August 31, 2008

Tumevuna Tulichopanda...
Mkimbiaji wa Tanzania Samweli Mwera akikimbiza Upepo mjini Beijing nchini China wakati wa Olimpiki hivi karibuni.Pamoja na viongozi wa chama cha Olimpiki TOC na AT kuvutana hapa nyumbani na baadae TOC kung'ang'ania wavae Puma badala ya Li-Ning tulitoka patupu. Sasa tuwekeze kwenye mbio fupi nadhani hatuwawezi wakenya na Waethiopia.

No comments: