uzalendo haujatushinda
                                     
 mtangazaji maarufu wa eatv ben kinyaiya akifurahi baada ya taifa stars kupiga bao
 hata watasha wanaishabikia taifa stars
 uzalendo ni wa hali ya juu siku hizi kwa wadau kuipenda taifa stars
 kila aina ya mitindo ipo siku hizi kushabikia timu ya taifa
 ni fahari ilioje kuvaa bendera ya taifa siku hizi
 kinadada wapo bega kwa bega kushabikia timu yao ya taifa
 mitaani nako mambo kama kawa
 jamaa akikatiza mitaa ya ilala na bendera zake
 gari la saidi muchacho ambaye ni shabiki wa bwawa la maini na pia taifa stars
 siku ya mechi ya taifa stars ni neema kwa ndugu zetu hawa...
No comments:
Post a Comment