Wednesday, August 27, 2008

vipuri feki vyateketezwa


Vipuri feki vya magari vyenye thamani ya Milioni 50 toka nchini China vimeteketezwa hivi karibuni jijini Dar na tume ya ushindani au FCC katika kupambana na uingizaji wa vitu feki hapa nchini. Kweli bongo tambarare

No comments: