Mke wa Baba  wa Taifa mwalimu Julius Nyerere akionyesha mbog aalizolima katika bustani yake  Msasani jijini Dar es Salaam kwa meja Mbuge wa Jeshi la Kujenga Taifa jana  walipomtembelea kufanya usafi katika nyumba yake ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho  ya miaka 44 ya Jeshi la Ulinzi wa wananchi la Tanzania.
 
 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment