Jamani tuanzishe Soka la  Kulipwa
 -Balozi  Biswalo
  
 Balozi wa Tanzania nchini Brazil Dk Joram  Biswalo(kushoto)akizungumza na waandishi wa habari wa magazeti ya Daily News na  HabariLeo jana alipotembelea chumba cha habari cha magazeti hayo na kuzungumza  nao ikiwa ni utaratibu maalumu wa magazeti hayo kuwaalika watu mashuhuri ambao  waliwahi kuwa waandishi kuzungumza nao.Kulia ni Mhariri Mtendaji wa TSN,Issac  Mruma.Picha na Mroki-----
 Balozi wa Tanzania nchini Brazil,Dk.Joram Biswalo,ameishauri  Tanzania kuanzisha soka la kulipwa ili kuvutia wawekezaji na kuuboresha mchezo  huo.Biswalo aliiambia HabariLeo katika mazungumzo maalumu kuwa maendeleo ya soka  nchini Brazil yanatokana na nchi hiyo kuwa na soka la kulipwa ambalo linavutia  kampuni kuwekeza.Bofya na Endelea....>>>>>  
 
No comments:
Post a Comment