Monday, August 25, 2008

Latoya Mwakilishi wa Tanzania Big
Brother Africa III 2008

Latonya Lwakurwa kutoka Tanzania
Mimi kutoka Ghana

Lucille kutoka Namibia
Sheila kutoak Kenya
Hazel kutoka Malawi
Tawana kutoka Botswana
-----
Picha ya kwanza juu ndiye mwakilishi wa Tanzania kwenye Shindano la BBA Afrika III 2008.shindano ambalo limeanza leo rasmi nchini afrika kusini.Huku Tanzania tukiwakilishwa na kimwana Latoya Lyakurwa kutoka Arusha,picha nyingine ni baadhi ya vimwana wanaoshiriki kwenye shindano hilo mwaka huu ambapo ni mjumuiko wa wasichana 6 na Wavualan 6.

No comments: