Rais wa Comoro  alihutubia 
 Bunge  ...
  
 Rais wa Visiwa Vya Comoro,Ahmed Abdallah Mohamed Sambi na Waziri  Mkuu,Mizengo Pinda wakipokea heshima kutoka kwa gwaride maalum la mapokezi ya  Rais huyo wakati alipowasili Bungeni mjini Dodoma leo.
 Rais wa Visiwa Vya Comoro Ahmed Abdallah Mohamed Sambi akiagana na  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda baada ya ziara yake ya siku moja mjini Dodoma  alikolihutubia Bunge. Wapili kulia ni Spika wa Bunge Samwel Sitta na Wapili  kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, William lukuvi.
 Rais wa Visiwa Vya Comoro,Ahmed Abdallah Mohamed Sambi  (katikati),Waziri Mkuu,Mizengo Pinda na Spika wa Bunge,Samwel Sitta wakiwa  katika viwaja vya Kituo cha Mikutano cha ST, Gaspar cha Dodoma ambapo Rais huyo  aliandaliwa chakula cha mchana na Spika wa Bunge Samweli Sitta baada ya  kulihutubia bunge mjini.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu 
No comments:
Post a Comment