Sunday, August 31, 2008

Mdau agongana na Rais
Kikwete kwenye game la Kikapu
Washington DC...
Mdau Dotto Mallongo(Kushoto)wa washington,D.c alipata bahati ijumaa ya kukutana na Rais Jakaya Kikwete kwenye game ya basketball ya wanawake(wnba)kati ya washington mystics(75) vs chicago sky(79).ambayo ilifanyikia kwenye uwanja wa verizon center Downtown Dc.muda mfupi baada ya Rais Jakaya Kikwete kumaliza ziara yake nchini Marekani ya siku tatu chini ya Mwaliko wa Rais George Bush.

No comments: