Monday, August 25, 2008

Simba Kidedea.....

Straika wa simba Emeh Izechuku akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dhidi ya timu ya Villa Squad katika mchezo wa ufunguzi wa ligi kuu ya Vodacom iliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam juzi.Simba ilishinda 4-1.Picha na Yusuf Badi

No comments: