neshno siku ya Gemu !!
                                     
 katika sehemu ya vip toka shoto ni bosi wa nssf dk. ramadhani dau, kamanda wa kanda maalumu ya kipolisi ya dar afande selemani kova, rais wa tff sir leodegar tenga, mkuu wa wilaya ya ilala mh. patrick tsere na maofisa wa ubalozi wa ghana nchini
 benchi la taifa stars
 benchi la black stars ya ghana. naam... hujakosea. wa pili kulia ni micho aliyekuwa kocha wa yanga sasa ni msaidizi wa kocha wa ghana
 taifa stars
 black stars
No comments:
Post a Comment