Friday, August 22, 2008

neshno siku ya Gemu !!
katika sehemu ya vip toka shoto ni bosi wa nssf dk. ramadhani dau, kamanda wa kanda maalumu ya kipolisi ya dar afande selemani kova, rais wa tff sir leodegar tenga, mkuu wa wilaya ya ilala mh. patrick tsere na maofisa wa ubalozi wa ghana nchini
benchi la taifa stars
benchi la black stars ya ghana. naam... hujakosea. wa pili kulia ni micho aliyekuwa kocha wa yanga sasa ni msaidizi wa kocha wa ghana

taifa stars
black stars

No comments: