Richard na  Mkewe...
  
 Mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa II  Mwaka jana Richard ambaye pia aliibuka mshindi katika shindano hilo akiwa katika  picha ya pamoja na mkewe kwenye uzinduzi rasmi wa shindano la Big Brother Africa  III kwa mwaka huu kwa wadau wa hapa nyumbani uliodhaminiwa na Kampuni ya  MultiChoice Tanzania ambayo imeandaa hafla maalum usiku huu katika hotel ya  Courtyard kushuhudia Mtanzania atakaetuwakilisha katika jumba hilo Kimwana  Latoya Lyakurwa kutoka Arusha akizama katika jumba hilo,kwa kifupi wadau kazi  imeanza rasmi leo katika jumba hilo.Picha hii na Abdallah Mrisho Salawi
   
No comments:
Post a Comment