Rais Karume akutana  na
 Will  Smith..
  
 RAIS KARUME AKIZUNGUMZA NA WILL SMITH IKULU YA ZANZIBAR
 RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE DK AMANI  ABEID KARUME(KULIA),AKIPOKEA KITABU KINACHOZUNGUMZIA MAMBO MBALI MBALI YA  MAREKANI,KUTOKA KWA MUIGIZAJI MAARUFU WILL SMITH HUKO IKULU MJINI ZANZIBAR  JANA
 RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE DK AMANI  ABEID KARUME(WAPILI KULIA)AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MUIGIZAJI MAARUFU NA  MCHEZA SINEMA DUNIANI,KUTOKA NCHINI MAREKANI,WILL SMITH, MAMA SHADYA KARUME  KUSHOTO NA MKEWE MUIGIZAJI HUYO JADA PINKEH SMITH KUSHOTO,MARA BAADA YA  MAZUNGUMZO YAO IKULU MJINI ZANZIBAR JANA.PICHA ZOTE KWA HISANI YA RAMADHAN  OTHMAN IKULU/ZANZIBAR
1 comment:
Huu ni upumbavu kabisa coz cjaona sababu ya Karume kumkaribisha W.Smith ikulu kwa sababu kwanza jamaa alikuja hapa kwa ajili ya kutalii na co kaja kwa shughuli za kikazi. Hii inaonesha jinsi gani viongozi we2 2liowapa dhamana ya kuendesha nchi ye2 wanavyopapatikia wa2 maarufu na wenye fedha ndio maana kwa upumbavu wao wanashndwa kuutokomeza ufisadi
Post a Comment