Mwakilishi wetu Latoya  Ndani ya
 Jumba la  Big Brother Africa  
 III..  
  
Mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa III 2008  Kimwana Latoya ameendelea kujiachia vyema ndani ya jumba la Big Brother Africa  ambapo amekua akionekana kuwa karibu na wavulana wote ambao ni washiriki wenzake  ndani ya jumla hilo na kuzua mijadala kwa vimwana wenzake baada ya kuonekana  kuwa na uhusiano wa ukaribu zaidi na kijana Morris kutoka Uganda kama muonavyo  pichani.(ila simnajua sisi katika jumba hilo ndio ni kama brazil kwa soka ,  sisi ni kuchukua pesa au kushika nafasi ya pili sasa sijui itakuwaje maana kama safari bado mbichi)
No comments:
Post a Comment