Friday, August 29, 2008

Kitabu Cha Maombelezo..
Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akitia saini kitambu cha maombolezo kwenye ubalozi wa Zambia nchi Tanzania kufwatia kifo cha Rais wa nchi hiyo Levy Mwanawasa aliyefariki hivi karibuni nchini Ufaransa na kutarajiwa kuzikwa 3rd of September.Kulia kwake ni Mke wake Mama Anna Mkapa.

No comments: