Kitabu Cha  Maombelezo..
  
Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akitia saini kitambu cha maombolezo  kwenye ubalozi wa Zambia nchi Tanzania kufwatia kifo cha Rais wa nchi hiyo Levy  Mwanawasa aliyefariki hivi karibuni nchini Ufaransa na kutarajiwa kuzikwa 3rd of  September.Kulia kwake ni Mke wake Mama Anna Mkapa.
   
No comments:
Post a Comment