


Wa juu hufanya issue zake mida ya mchana na usiku hupumzika (mara nyingi). Kutokana na yeye kuwa ni mnyama anaewinda mchana, pembezoni mwa macho yake kuna rangi nyeusi ambayo kazi yake ni kuweza kumsaidia kuona vizuri akiwa kwenye jua kali. Rangi hii huwa kama sun glasses kwake. Hii ni hali ambayo wanyama wengi wanaofanya shughuli zao mida ya mchana huwa nayo ktk macho yao.
No comments:
Post a Comment