Wednesday, March 3, 2010

ray the greatest aja na MR DREAMS

Pichani ni waigizaji mahiri wa Filamu hapa Bongo, Irene Uwoya na Dr Cheni wakiigiza moja ya Filamu itakayokuwa ya aina yake iitwayo MR DREAMS,ambayo inashutiwa na kampuni mahiri ya Rj Productions ikiongozwa na Ray a.k.a The Greatest.
Ukitaka kujua kuhusiana na mambo lukuki juu ya Filamu hiyo na mambo mengi mengineyo ya wasanii wa Filamu na uandaaji wake basi

No comments: