Wednesday, March 17, 2010

je gari yako ina matatizo haya.?



kwa wale wenye magari ya diesel yanayosumbua matatizo yafuatayo..


kula mafuta mengi, yanatoa moshi sana, yanaingiza miss, engine ikipata moto yanazima, yanakosa nguvu, inakuwa na brake-fire, haliwaki, kujiongeza acceleration (mafuta)tuna mitambo ya kisasa
WAPO:
Kariakoo-Jangwani.Baada ya Uwanja wa Kaunda,Club ya Yanga
Simu:0715 744 452 au 0754 000 357

No comments: