Tuesday, August 12, 2008

Mwana FA Unaoa Lini...?



kwa wadau wa ughaibuni napenda kuwadunga na songi matata kabisa kutoka kwa mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya/Bongo Fleva Mwana Fa kinachokwenda kwa jina la Bado Nipo Nipo ambacho kinawika na kutamba karibu kila kona Hivi sasa.Bofya player Hapo chini Ule Ngoma


No comments: