Tuesday, November 25, 2008

wah. yona na mramba washindwa masharti ya dhamana, waenda kulala rumande
wah. daniel yonah na basil pesambili mramba wakiwasili mahakama ya kisutu leo
wah. yonah na mramba wakiondoka mahakama ya kisutu kuelekea segerea
msafara wa kupeleka wah. segerea waondoka mkuku mahakamani.

stei tyund fo moo
Picha na msaada kutoka kwa Michuzi!

No comments: