Friday, November 14, 2008

Mbunge wa Mbeya Vijijini na Mkurugenzi wa Business Times Ltd, Richard Nyaulawa (pichani juu) azikwa kijijini kwao Inyala mkoani Mbeya. Msiba Ulikuwa kwake Kawe beach.

Picha ya Chini: Imma Mbughuni akimfariji Rehure Nyaulawa baada ya msiba wa baba yake, Richard Nyaulawa ambaye ni Mbunge wa Mbeya Vijijini aliyefariki dunia usiku wakuamkia jumapili . Wazazi wa Imma na Rehure, Richard na Rashid Mbughuni ndio waanzilishi wa kampuni ya magazeti ya Business Times. Wengi tumaingilia kwenye fani kupitia kampuni hiyo.

No comments: