Tuesday, November 25, 2008

Dk. shein awatembelea wazazi wa pinda
Makamu wa rais Dk. Mohamed Ali Shein na mkewe mama mwanamema Shein wakipiga stori na mzee mizengo pinda na mama pinda walipowatembelea nyumbani kwao mpanda. Dk. shein yuko katika ziara ya kikazi mkoani Rukwa kukagua maendeleo na kuongea na wananchi.

No comments: