Wednesday, November 26, 2008

Rais Kikwete akutana
na Gaddafi...


Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi katika ikulu ya Tripoli siku za karibuni.Rais Kikwete alifanya ziara ya kikazi ya siku moja nchini Libya.Picha na Freddy Maro/Ikulu

No comments: