Saturday, November 29, 2008

Stars Yaibuka Na Ushindi Mkubwa!

Ni wa mabao 3-1 dhidi ya Sudan. Stars sasa inahitaji sare tu ili iweze kusonga mbele na kushiriki fainali za Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wasiocheza nje ya nchi zao zitakazofanyika nchini Ivory Coast. Mechi ya marudiano ni majuma mawili yajayo ambapo Sudan itahitaji ushindi wa 2-0 ili iweze kusonga mbele. Hongera Stars, na Kila la Heri Stars kwa mechi ijayo.

No comments: