Tuesday, April 29, 2008

ohooooo...kumbe kufungwa kubaya...


Wachezaji wa Man u jana wliafanya bonge la vagi baada ya kukataa kutoka uwanjani mpira ulipoisha jana. Inaonyesha iliwauma vibaya sana kipigo cha jana mpaka wakashindwa kujibihev. kwa maelezo zaidi leo wanapambana na Barcelona yatatokea haya muamuzi ni dakika 90 na pia namwambia muheshimiwa Fisi akae chonjo maana na hao wapinzani wa bwawa la maini kama kaka michuzi asemavyo nao wanahitaji ushindi ndio utamu ulipo hapo !!!

No comments: