Tuesday, April 29, 2008

Jean ping M/kiti Mpya wa Kamisheni AU..


Mwenyekiti wa Umoja wa Africa (AU) na Rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza mwenyekiti wa kamisheni ya umoja wa afrika (AU) aliyemaliza muda wake profesa alpha oumar konare ambaye leo kakabidhi madaraka hayo kwa Mh. Jean Ping addisababa Ethiopia.

Mwenyekiti wa Umoja wa Africa (AU) na Rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akishuhudia makabidhiano rasmi kutoka kwa mwenyekiti wa kamisheni ya umoja wa mataifa aliyemaliza muda wake Alpha Oumar Konare(kushoto) kwenda kwa Mwenyekiti Mpya wa kamisheni hiyo Mr.Jean Ping kwenye makao makuu ya Umoja wa Africa,Addis Ababa Ethiopia mchana jana.

No comments: