Wednesday, April 30, 2008

Waziri Mkuu Pinda awasili Iringa ...


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (nyuma yake) wakisalimiana na wenyeji wao walipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Nduli, Iringa kwa ajili ya sherehe za Mei-Mosi kitaifa zinazofanyika mkoani Iringa Kesho..

No comments: