Tuesday, April 29, 2008

Mambo ya Precision Air !!


Abiria wakipanda ndege aina ya Boeing 737 ya Shirika la Ndege la Precision katika hafla ya uzinduzi wa ndege hiyo iliyoanza safari zake zanzibar,Mwanza Dar es Salaam jana jijini Dar es Salaam.Picha na Bernard Rwebangira.

No comments: