Tuesday, April 29, 2008

Ridhwan..


Mtoto wa Rais Ridhiwan Kikwete,akivuka viti kutafuta sehemu muafaka ya kukaa ili aweze kushuhudia gwaride maalum la Sherehe za Miaka 44 ya Muungano zilizofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

No comments: