Wednesday, April 30, 2008

Rais Kikwete ateta na Wafanyakazi, AU..


Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika na Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete wa Pili kulia,akiongea wafanyakazi katika Makao Makuu ya Umoja huo jijini Addis Ababa Ehiopia leo.Kushoto ni Mwenyekiti mpya wa Kamisheni ya Umoja huo,Jean Ping na kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Tanzania Bernard Membe.Rais Kikwete,anatarajiwa kukutana na Baraza la Usalama la Umoja wa Afrika.

Baadhi ya watumishi wanaofanya kazi katika Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) iliyopo jijini Addis Ababa Ethiopia wakimsikiliza kwa Makini Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipokuwa anaongea nao jan katika Makao makuu ya umoja huo Addis Abba Ethiopia.

No comments: