Tuesday, April 29, 2008

Pole Mactemba kwa Moto !! (Bamaga)


Mmiliki wa blog ya mactemba.blogspot.com jana alipata pigo la kuunguliwa na mahali anapoishi Maeneo ya bamaga pia ule moto wajana uliteketeza malizake zote na kumrudisha hatua nyuma. Mimi na wadau wote tuna mpa pole sana na Mungu amsaidie aweze kusimama tena najua Mzee wa tatu bila au Mzee wa Epa Mungu atakujalia na utarudi kama zamani. Kwa msisitizo na rudia kukupa Pole sana wewe na laazizi wako mimi kama mmiliki na wadau wote wa hii blogu wako pamoja na wewe katika wakati huu mgumu !!

No comments: