Tuesday, April 29, 2008

Mzee Mzima Bozi Boziana Kuwasha Moto Bongo..



Mratibu wa Tamasha la uzinduzi wa albamu mpya ya Akudo Impact a.k.a wazee wa masauti, Bahati Sigh(katikati)akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu uzinduzi wa albamu ya Impact yenye jumla ya nyimbo nane itakayo zinduliwa Mei 16 ndani ya ukumbi wa diamond jubilee.katika uzinduzi huo pia kutakuwepo na vikundi vya utangulizi kama Jahazi Modern Taarab pamoja na mwanamuziki aliyewahi kuwika sana miaka ya nyuma kutoka Congo (DRC) Mzee Mzima Bozi Boziana

No comments: