Tuesday, April 29, 2008

mwaitege kukiaga chama cha ukapera


Muimbaji maarufu wa nyimbo za injili Bony Mwaitege aliyetamba sana na wimbo wa UTANITAMBUAJE KAMA NIMEOKOKA,anatarajia kufunga ndoa mapema julai mwaka huu,aidha habari zinasema kuwa tayari amemvisha pete ya uchumba Bi Subiraga Mwasaga katika kanisa la E.A.G.T Mito ya Baraka jijini Dar-es-salaam.kwa habari zaidi mdau ingia strictlygospel.wordpress.com

No comments: