Wednesday, April 30, 2008

HUYU NI MDAU WA BLOG YA HAKUNAKULALA!!!


Ebwana huyu ni Albert, mdau mwenzangu wa blog,yeye ni mmiliki wa blog ya www.hakunakulala.blogspot.com...na pia ni mpenzi wa Bwawa la maini kama anko Michuzi asemavyo jana nae alikuwa na furaha pia baada ya bwawa lamaaini kufanya mambo pale London nae anasema kama mshabiki namba one wa Bwawa la maini hakuna wa kuwazuia kuchukua kikombe safari hii !!!

No comments: