Friday, April 25, 2008

mohamed rishard adolph


kepteni wa zamani wa taifa staaz na pan african mohamed adolph rishard (bukta nyekundu) akimsaidia kocha wa timu ya taifa ya vijana mbrazil marcos tinoco kuionoa timu hiyo. hii ilikuwa leo jioni wakati kikosi hicho kilipocheza mechi ya mazoezi na timu ya mchanganyiko ya chama cha akademia za kandanda za vijana leo uwanja wa karume

No comments: