Wednesday, April 30, 2008

Rais Kikwete akutana na Tsvangirai..


Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto)akisalimiana na Kiongozi wa Chama cha Upinzani nchini Zimbabwe,The Movement for Democratic Change(MDC)Bw Morgan Tsvangirai jana jijini Addis Ababa wakati viongozi hao walipokutana kwa mazungumzo ya faragha katika hoteli ya Sheraton.

No comments: