Tuesday, April 29, 2008

Nyumba yateketea kwa Moto Sinza..


Moto mkubwa ambao chanzo chake inadaiwa kuwa shoti ya umeme ukiteketeza nyumba ya Bi Aisha Issa muda mfupi uliyopita maeneo ya Sinza Bamaga, katika tukio hilo Kikosi cha Zimamoto kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kilishindwa kuzima moto huo baada ya gari kugoma kutoa maji na hivyo wananchi kulazimika kujaribu kuuzima kwa kutumia ndoo! Hii ndiyo hali halisi ya 'Faya' zetu za Bongo! Picha na Christopher Lissa

No comments: