Tuesday, April 29, 2008

gym ikila vumbi



vifaa vilivyoagizwa kwa bei mbaya na serikali kwa ajili ya mazoezi ya viungo hasa kwa maafisa wa taasisi mbalimbali zinakula vumbi uwanja wa ndani wa neshno na haonekani mtu akila tizi hata siku moja mahali hapo...

No comments: