Friday, April 25, 2008

juma pondamali mensah


kipa wa zamani wa taifa staaz na pan african juma pondamali mensah akitoa mawaidha kwa vijana wake wa timu mchanganyiko ya tanzania association of youth soccer academies. mensah ni mmoja wa wachezaji wakongwe kadhaa ambao wameamua kusaidia chipukizi katika kulisakata kabumbu kwa kuwa makocha. wengine ni kama mohamed adolph rishard, mohamed bakari 'tall', charles boniface mkwasa, thomas 'uncle tom' kipese, james kisaka, sekilojo chambua, fred felix kataraia minziro, khalid bitebo 'zembwela' na kadhalika

No comments: