Monday, April 28, 2008

Uchimbaji Haramu wa Mchanga...


Gazeti la ThisDay linaripoti kwamba ile tabia ya uchimbaji haramu wa mchanga pembezoni Mwa Barabara kuu ya Bagamoyo (Mbezi) umerudi kwa kasi ya aina yake kama muonavyo pichani,kwani eneo hilo lilipigwa marufuku na serikali kuchimbwa agizo ambalo lilitolewa na waziri Mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa.Lakini hivi mpaka sasa hakuna mamlaka yoyote inayotilia umakini wa eneo hilo..

No comments: